Showing posts with label shairi. Show all posts
Showing posts with label shairi. Show all posts

Saturday, August 6, 2016

Rafiki Mnafiki

Yawakera bidii yangu
Yawasuta Nafsi yangu
Ulaghai mliojilimbikizia
Kwa ahadi za kinafiki

Sio penzi langu niyakumbuke
Ila yenu Hila yabidi nijichunge
Werevu wenu ushawaaribikia
Maisha yangu nakudodoa we abiria

Nashukuru kwa Muda wote
Kwa ufala ulionifikiriria
Na kiapo naaapa sasa
Adui Utakoma.

Ulaghai wako do laana yako
Uovu wako do baraka zako
Tusizoeane na Uoze uozeane
Kaburi la sahau nishakutinga.

Simu zangu kelele sasa 

Shida zangu Kicheko kwako

Hujuma iliyoje 

Urafiki kugeuka unafiki

My Love,

My Love, I know that life can be tough, And bring you down when things get rough. But I want you to know, my dear, That you are strong and y...