hey you ma lady
you make me go crazy
hata kwa job nimeaza ushenzi
nimekuwa lazy
kutenda mambo vyema siwezi
hata kati kati ya mwezi
sina schedule ni ka wezi
indeed i sold my MC .BENZ
tuwepamoja katika hii DANCE
simniadvice enyi wapenzi
ni yaache mapenzi
ama my babe
shore umbo lako lanisumbua usiku kucha
napiga picha ulivyo umbika hata makucha
hadi napiga duru usiku kucha
hadi maneighbours wanazusha .
maborder wanazivuka
kuingilia nawaambia wasishangae
washangilie na tupatane baadaye.
No comments:
Post a Comment
Be Blessed